MUHIMBILI SASA KUANZA KUZIBA MATUNDU YA MOYO BILA UPASUAJI

 Daktari Benher Wankede (katikati) akionesha mfano kwa kuendesha mashine inayotumia kifaa maalumu kumfanyia ukinachotumika katika upasuaji kwa kuziba matundu yaliyoko kwenye moyo bila ya kufungua kifua kama ilivyozoeleka awali katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar es Salaam jana. Mgonjwa aliyelazwa  kwenye mashine hizo ni Aikande Zakaria.  Kushoto ni Polycarp France na kulia ni OfisaMuuguzi wa hospitali hiyo Joyce Nnembuka. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)


0566.Daktari Bingwa Magonjwa ya Moyo Hospitali ya Taifa Muhimbili na Kaimu Mkuu wa Idara ya Tiba na Upasuaji katika kitengo hicho,akizungumza na Waandishi wa Habari pichani hawapo wanavyofanya Tiba ya Moyo bila  ya kufanya Upasuaji kwa kuziba matundu yaliyoko kwenye moyo kwakutumia Kifaa maalum bila ya kufungua kifua kama ilivyo zoeleka(PICHA NA KHAMISI MUSSA) 
.Daktari Bingwa Magonjwa ya Moyo Hospitali ya Taifa Muhimbili na Kaimu Mkuu wa Idara ya Tiba na Upasuaji katika kitengo hicho,akizungumza na Waandishi wa Habari na kuwaonyesha matumizi ya mirija ya Plastiki(CATHETER) unavyo fanya kazi wakati wa Oparesheni hiyo Dar es Salaam jana(PICHA NA KHAMISI MUSSA)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*