Rais Nkurunzisa
Msemaji wa rais Nkurunziza Willy Nyamitwe amezungumza na mwandishi wetu na kuthibitisha kuwa Nkurunziza aliondoka nchini Tanzania siku ya jumatano lakini hawezi kubaini iwapo yuko nchini Burundi au la.Amesema kuwa kutokana na maswala ya usalama hawezi kutaja mahala alipo lakini yu buheri wa afya.
Msemaji wa rais Nkurunziza Willy Nyamitwe amezungumza na mwandishi wetu na kuthibitisha kuwa Nkurunziza aliondoka nchini Tanzania siku ya jumatano lakini hawezi kubaini iwapo yuko nchini Burundi au la.Amesema kuwa kutokana na maswala ya usalama hawezi kutaja mahala alipo lakini yu buheri wa afya.
Comments