RAIS NKURUNZIZA HAYUPO TANZANIA, SASA YUPO WAPI?

                                                                             Rais Nkurunzisa
Msemaji wa rais Nkurunziza Willy Nyamitwe amezungumza na mwandishi wetu na kuthibitisha kuwa Nkurunziza aliondoka nchini Tanzania siku ya jumatano lakini hawezi kubaini iwapo yuko nchini Burundi au la.Amesema kuwa kutokana na maswala ya usalama hawezi kutaja mahala alipo lakini yu buheri wa afya.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI