REAL MADRID YATOKA SARE NA JUVENTUS,JUVENTUS YATINGA FAINALI

Pamoja na kuonekana ni timu ‘mchekea katika nne zilizoingia nusu fainali, Juventus imefanikiwa kutonga fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Juventus imeingia fainali na sasa itacheza dhidi ya Barcelona Juni 6, mwaka huu jijini Berlin, Ujerumani.
Imetinga fainali baada ya kuing’oa Real Madrid kwa jumpa ya mabao 3-2 katika mechi ya nusu fainali ya pili iliyopigwa kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu.
Mechi hiyo iliisha kwa sare ya bao 1-1 baada ya Ronaldo kuanza kuifungia Madrid kwa penalti kabla ya Alvaro Morata kusawazisha katika kipindi cha pili.


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.