SHUHUDIA MGOMO WA MADEREVA WA MABASI UBUNGO DAR

AW1A4978
Imerudi kwenye headlines kwa mara ya pili 2015.. April 10 2015 hii ilikuwa stori kubwa sana mitandaoni na kwenye vyombo vya habari, ilipofika saa sita mchana Waziri wa Kazi na Ajira akaongozana na viongozi wengine ikiwemo Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda na Kamanda Suleiman Kova.. wakakubaliana, mgomo ukaisha magari yakarudi barabarani.
Leo imejirudia tena, mgomo umeanza asubuhi ya leo Dar na maeneo mengine TZ, watu wanatembea kwa miguu.. wengine usafiri ni lift za magari binafsi, bodaboda na bajaji.
Hizi ni picha nilizozipata kuanzia asubuhi mpaka sasa maeneo mbalimbali Dar.

AW1A4954
AW1A4960
AW1A4961
AW1A4972
AW1A4977
AW1A4978
AW1A4980
AW1A4984
AW1A4997
AW1A4998
AW1A5006
AW1A5009
AW1A5010

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA