Wachezaji wa Simba na Ruvu JKT wakiwania mpira wakati wa mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya Vodacom, Uwanja wa Taifa,
Dar es Salaam. Simba ilishinda mabao 2-1 na hivyo kushika nafasi ya
tatu katika msimamo wa ligi hiyo. (PICHA NA KASSIM MBAROUK)
Mchezaji Jonas Mkude wa Simba, akiwania mpira na Jaffary Kissoky wa JKT Ruvu wakati wa mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya Vodacom, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda mabao 2-1 na hivyo kushika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi hiyo. (PICHA NA KASSIM MBAROUK)
Mchezaji Jonas Mkude wa Simba, akiwania mpira na Jaffary Kissoky wa JKT Ruvu wakati wa mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya Vodacom, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Simba ilishinda mabao 2-1 na hivyo kushika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi hiyo. (PICHA NA KASSIM MBAROUK)
Comments