TAMBWE ATUA BURUNDI, WALIOMUONDOA RAIS NKURUNZINZA WAFUNGA MIPAKA

Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe amewasili nchini kwao Burundi ambako mipaka ya nchi hiyo imefungwa.


Mipaka imefungwa baada ya Rais Pierre Nkurunzinza kupinduliwa na wanajeshi wa nchi hiyo. Mapinduzi hayo yanaongozwa na Meja Jenerali, Godefroid Niyombar.

MEJA JENERALI NIYOMBAR
Ingawa kumekuwa na taarifa ya waliomuondoa Nkurunziza kufunga mipaka yote na kuushikilia uwanja wa ndege wa nchi hiyo.

Lakini Tambwe hayuko Bujumbura imeelezwa yuko nyumbani kwao ambako si mbali sana na mpaka wa Tanzania.

Nkurunzinza amepinduliwa akiwa nchini kwa ajili ya mkutano kujadili kuhusiana na suala la yeye kutaka kugombea mara ya tatu.


Burundi imeingia kwenye mgogoro na maandamano makubwa baada ya Nkurunzinza kulazimisha kugombea urais kwa mhula wa tatu.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI