WATU 12 WAOKOLEWA BAADA YA NYUMBA ZAO KUZINGIRWA NA MAJI ENEO LA KINONDONI MKWAJUNI JIJINI DAR



Watu takribani 12 wamearifiwa kuokolewa kutoka ndani ya nyumba zao baada ya kuzingirwa na maji eneo la Kinondoni Mkwajuni jijini Dar es salaam kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini hapa. Zeozi hili la uokozi limefanywa na kikosi cha zima moto kutoka Ilala pamoja na vijana wa skauti.


Licha ya zoezi hilo kupata mafanikio kwa kuokoa watu wote ambao afya 
zao zilikuwa salama vurugu pia zilijitokeza baada ya kundi moja la vijana kupinga zoezi hilo bila ya kuwa na sababu yoyote ya msingi.

Chanzo: ITV Tanzania

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA