BARCELONA NA JUVENTUS WATUA BERLIN SALAMA


Ligi ya Mabingwa barani Ulaya msimu wa 2014/2015 inafikia tamati Jumamosi hii kwa pambano la fainali baina ya Barcelona ambao ni mabingwa wa Spain watakaomenyanana Juventus ambao ni mabingwa wa Italia pambano litakalopigwa katika dimba Olmpico jijini Berlin Ujerumani.
Timu zote mbili hizi zinatafuta ubingwa wa tatu msimu huu kukamilisha makombe matatu (treble) katika msimu mmoja.
Katika picha hapa chini Wachezaji wa timu hizo wakiwasili Ujerumani
Kikosi cha Barcelona wakiongozwa na Messi
Neymar akiondoka uwanja wa ndege 

Kipa wa Juventus Buffon akiwapungia mashabiki hotelini
Carlos Tevez wa Juventus
Massimiliano Allegri kocha wa Juventus akiwasili
Mabus yakasubiri wachezaji wa Barca na Juve uwanja wa ndege wa Berlin



Artudo Vidal na Pirlo wakiwasili hotelini
Kiungo wa Barcelona Rakitic na kipa Marc-Andre Stegen
Neymar na Danny Alves


Estadio Olimpico mahali ambapo pambano hilo litapigwa

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI