KINANA AANZA ZIARA, AWATAKA WANANCHI KUACHA KUWASHABIKIA WAGOMBEA URAIS CCM, BALI WAWAPIME UWEZO WAO
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akishuka kwenye basi katika Kituo cha Msamvu, Morogoro, kwenda kuwasalimia wananchi, akiwa safarini kwenda Kanda ya Ziwa kufanya ziara katika mikoa ya Kagera, Geita na Mwanza, ambako atafanya kazi ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguziya chama hicho pamoja na kusikiliza kero za wananchi na kuzitafutia ufumbuzi.
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akishuka kwenye basi maalumu kwa ajili ya kwenda Kanda ya Ziwa kuiumarisha uhai wa chama.
Komredi Kinana akisalimiana na wafuasi wa chama hicho pamoja na wananchi alipowasili Msamvu, Morogoro.
Basi maalumu analoswafiri nalo Komredi Kinana kutoka Dar kwenda katika ziara katika mikoa ya Kagera, Geita na Mwanza, kuhitimisha ziara yake ya nchi nzima.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA WA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Wafuasi wa CCM wakishangilia kwa furaha wakati Komredi Kinana akihutubia eneo la Msamvu, mjini Morogoro
Nape akihutubia wananchi eneo la Msamvu Morogoro
Komredi Kinana akihutubia wananchi katika Kituo cha Mabasi cha Msamvu, Morogoro, ambapo aliwataka wananchi kuacha tabia ya kuwashabikia wagombea urais kupitia chama hicho, bali wawapime endapo wana uwezo wa kuongoza nchi kwa kuwatatulia changamoto zinazowakabili/
Komredi Kinana akiwaslkamia wananchi alipowasili mjini Dodoma akiwa njiani kwenda mikoa ya kanzda ya ziwa
Komredi Kinana akihutubia katika Kituo cha mabasi mjini Dodoma, ambapo aliwataka makondakta na madereva kujitokeza kuwania nafasi za udiwani na ubunge kupitia chama hicho.
Wasanii wakimlaki Komredi Kinana mjini Singida
Komredi Kinana akiwasalimia wananchi alipowasili mjini Singida
Nape akiwasalimia wananchi mjini Singida
Komredi Kinana akihutubia mjini Singida
Komredi Kinana akisalimiana na Mbunge wa Nzega, Hamis Kigangwala alipowasili mjini Nzega
Wananchi wakiwa wamemzonga Komredi Kinana wakimuuliza maswali wengine kutaka kumsalimia
Komredi Kinana akilakiwa na viongozi wa CCM wilayani Kahama
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akishuka kwenye basi maalumu kwa ajili ya kwenda Kanda ya Ziwa kuiumarisha uhai wa chama.
Komredi Kinana akisalimiana na wafuasi wa chama hicho pamoja na wananchi alipowasili Msamvu, Morogoro.
Basi maalumu analoswafiri nalo Komredi Kinana kutoka Dar kwenda katika ziara katika mikoa ya Kagera, Geita na Mwanza, kuhitimisha ziara yake ya nchi nzima.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA WA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Wafuasi wa CCM wakishangilia kwa furaha wakati Komredi Kinana akihutubia eneo la Msamvu, mjini Morogoro
Nape akihutubia wananchi eneo la Msamvu Morogoro
Komredi Kinana akihutubia wananchi katika Kituo cha Mabasi cha Msamvu, Morogoro, ambapo aliwataka wananchi kuacha tabia ya kuwashabikia wagombea urais kupitia chama hicho, bali wawapime endapo wana uwezo wa kuongoza nchi kwa kuwatatulia changamoto zinazowakabili/
Komredi Kinana akiwaslkamia wananchi alipowasili mjini Dodoma akiwa njiani kwenda mikoa ya kanzda ya ziwa
Komredi Kinana akihutubia katika Kituo cha mabasi mjini Dodoma, ambapo aliwataka makondakta na madereva kujitokeza kuwania nafasi za udiwani na ubunge kupitia chama hicho.
Wasanii wakimlaki Komredi Kinana mjini Singida
Komredi Kinana akiwasalimia wananchi alipowasili mjini Singida
Nape akiwasalimia wananchi mjini Singida
Komredi Kinana akihutubia mjini Singida
Wananchi wakiwa wamemzonga Komredi Kinana wakimuuliza maswali wengine kutaka kumsalimia
Komredi Kinana akilakiwa na viongozi wa CCM wilayani Kahama
Comments