Waziri
Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa
akijadiliana jambo na Waziri wa Maji, Prof. Jumanne Maghembe wakati wa
kupiga kura bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Bungeni
mjini Dodoma Juni 23,2015 ( Kulia), Mbunge wa Mbunge wa Viti Maalum,
Mh. Anna Chilolo.
Waziri
Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa akipiga
kura ya ndio wakati bunge lilipokuwa likipitisha bajeti kuu ya serikali
kwa mwaka wa fedha 2015/2016, Bungeni mjini Dodoma ( Kulia), Mbunge wa
Mbunge wa Viti Maalum, Mh. Anna Chilolo.
Waziri
Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa
(kushoto) akijadiliana jambo na Mbunge wa Jimbo la Ilala, Mh. Mussa Azan
Zungu wakati wa kupiga kura bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha
2015/2016, Bungeni mjini Dodoma leo-juni 23, 2015.
Comments