Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Balozi
wa Palestina nchini Tanzania, Nasir Abu Jaish, wakati alipofika Ofisini
kwake Ikulu jijini Dar es Salaam, leo Juni 19, 2015 kwa ajili ya
kumuaga baada ya kumaliza muda wake wa kazi nchini.
Picha zote na OMR
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Balozi
wa Palestina nchini Tanzania, Nasir Abu Jaish, anayemaliza muda wake wa
kazi nchini wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam,
leo Juni 19, 2015 kwa ajili ya kumuaga.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akipokea zawadi kutoka
kwa Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Nasir Abu Jaish, anayemaliza
muda wake wa kazi nchini, wakati alipofika Ofisini kwake Ikulu jijini
Dar es Salaam, leo Juni 19, 2015 kwa ajili ya kumuaga.
Comments