MAZISHI YA MAREHEMU KAMISHNA MKUU MSTAAFU WA JESHI LA MAGEREZA, ONEL MALISA YAFANYIKA OLD MOSHI MKOANI KILIMANJARO
Maafisa
Waandamizi wa Jeshi la Magereza wakiweka jeneza la Marehemu Kamishna
Mkuu Mstaafu wa Magereza, Onel Malisa kwenye nyumba yake ya milele.
Mazishi hayo yamefanyika leo Juni 05, 2015 katika kijiji cha Kidia, Old
Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Jeneza la Marehemu Kamishna Mkuu Mstaafu wa Magereza, Onel Malisa likiwa tayari limewekwa kwenye nyumba yake ya Milele.
eneza la Marehemu Kamishna Mkuu Mstaafu wa Magereza, Onel Malisa likiwa tayari limewekwa kwenye nyumba yake ya Milele.
Askofu
Mstaafu Dkt. Martin Shayo wa Diyosisi ya Kasikazini akiweka akiongoza
Ibada Maalum ya mazishi ya Marehemu Kamishna Mkuu Mstaafu wa Magereza,
Onel Malisa ambaye amefariki Juni 2, 2015 katika Hospitali ya Dar Group,
Jijini Dar es Salaam(kushoto) ni Kamishna Jenerali wa Jeshi ka
Magereza, John Casmir Minja.
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza, John Casmir Minja akiweka Shada la Maua kwenye kabuli la Marehemu.
Gadi
Maalum ya Maofisa wa Jeshi la Magereza wakitoa heshima kwa Marehemu
Kamishna Mkuu Mstaafu, Onel Malisa katika Gwaride la mazishi yake.
Kabuli la Marehemu Kamishna Mkuu Mstaafu wa Magereza, Onel Malisa likiwa limepambwa na mashada ya maua baada ya mazishi.
Umati wa watu waliojitokeza katika mazishi ya Marehemu Kamishna Mkuu Mstaafu wa Magereza, Onel Malisa.
Comments