Marehemu Francis Festus Mengele, enzi za uhai wake.
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda akiweka shada la maua kwenye kaburi la marehemu Francis Festus Mengele.
Shangazi wa Msanii, Steve Nyerere,
Grace Mengele (katikati), akiwa na wadogo zake Steve Nyerere wakati
akiwasili makaburi ya Kinondoni kwa mazishi ya mpendwa wao, Francis
Mengele.
Watoto wa marehemu na dada zake wakiwa kwenye ibada ya maziko makaburi ya Kinondoni.
Ibada ya maziko ikiendelea.
Hali ilivyokuwa wakati wa mazishi.
Jeneza lenye mwili wa marehemu Francis Mengele
likishushwa kaburini.
Jeneza lenye mwili wa marehemu Francis Mengele
likishushwa kaburini.
Wasanii mbalimbali wakiwa kwenye mazishi hayo.
Ni huzuni tupu.
DC Makonda akiwa udongo kwenye kaburi la Francis Mengele wakati wa mazishi.
Kaburi likijengwe baada ya kuwekwa mwili wa marehemu kaburini.
Waombolezaji wakiwa wamebeba jeneza lenye mwili wa marehemu Francis Mengele.
Waombolezaji wakiwasili makaburi ya Kinondoni tayari
kwa mazishi.
Hali ilivyokuwa makaburini.
Hali ilivyokuwa makaburini.
Wasanii mbalimbali wakiwa kwenye maziko hayo.
Comments