Mkurugenzi
wa Fedha na Uwekezaji, Deusdedit Rutazaa akitoa maelezo ya huduma zinazotolewa
katika banda la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya
kwenye maonesho ya Wiki ya Utumishi Viwanja vya Mnazi Mmmoja, Dar es
Salaam
1. Vitengo vya upimaji afya bure, Elimu kwa Umma na Uanachama wakiendelea kutoa huduma kwa wananchi waliofika bandani hapo.
.
1. Kitengo cha elimu kwa Umma kikiwa
kazini
1. Vitengo vya upimaji afya bure, Elimu kwa Umma na Uanachama wakiendelea kutoa huduma kwa wananchi waliofika bandani hapo.
2. Mwananchin akihudumiwa ndani ya gari
la wagonjwa baada ya kuonekana anahitaji huduma ya kwanza katika banda la
Mfuko. NHIF imeweka gari maalum kwa ajili ya kutoa huduma za haraka kwa
wananchi watakaopata tatizo la afya viwanjani hapo.
1. Ofisa Mwandamizi wa NHIF, Luhende
Singu akitoa ufafanuzi wa mambo mbalimbali kwa mteja.
1. Ofisa katika kitengo cha Uanachama
akiendelea na majukumu yake
1. Meneja wa Masoko na Elimu kwa Umma
Anjela Mziray akionesha tuzo mbalimbali kwa Mkurugenzi wa Fedha na Uwekezaji
Bw. Rutazaa.
Comments