NSSF YAWANUFAISHA YATIMA NA WAHUDUMU WA WAGONJWA MAHOSPITALINI



Mhasibu Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abdulkarim Kisuguru akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi misaada ya vyakula pamoja na vifaa vya shule katika Kituo cha Kulelea Watoto wanaoishi katika Mazingira Magumu cha, Darul-Arqam cha Tandika jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Kituo cha Kulelea Watoto wanaoishi katika Mazingira cha Darul-Arqam cha Tandika jijini Dar es salaam akizungumza wakati hafla ya kupokea misaada kutoka NSSF.
 Baadhi ya watoto wanaolelea katika kituo cha Darul-Arqam cha Tandika jijini Dar es salaam wakiwa katika haflaya kupokea msaada wa vyakula na vifaa vya shule vilivyotolewa na NSSF. 

 Maofisa wa NSSF wakiwa katikahafla hiyo.
 Meneja Kiongozi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), mkoa wa Temeke, Chedrick Komba (wa pili kulia) akiwa na baadhiya maofisa wa NSSF mkoa wa Temeke walipofikakutoa msaada katika kituo cha Darul-Arqam.
 Maofisa wa NSSF mkoa wa Temeke.
  Maofisa wa NSSF mkoa wa Temeke wakiwa katika hafla hiyo.
Kijana aliyewahi kuishi na kusoma katika katika Kituo cha Kulelea Watoto wanaoishi katika Mazingira cha Darul-Arqam, Idd Abasi  akitoa ushuhuda wake kwa viongozi wa NSSF mkoa wa Temeke. Kijana Idd kwa sasa anasoma Chuo Kikuu cha Ardhi jijini Dar es Salaam akichukua masomo ya BSC, LMV.
Baadhi ya vyakula vilivyotolewa na NSSF kwa kituo hicho.
Meneja Kiongozi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), mkoa wa Temeke, Chedrick Komba (kulia) akimkabidhi Mkurugenzi wa Kituo cha Kulelea watoto wanaoishi katika mazingira magumu cha, Darul-Arqam, Ustaadh Hemed Jaffar. Hafla hiyo ilifanyika Tandika jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni Ofisa Mkaguzi wa NSSF mkoa wa Temeke, Ummy Kimario na kushoto ni Ofisa wa Huduma kwa Wateja, Carolyne Newa. 

Ofisa Mkaguzi wa NSSF mkoa wa Temeke, Ummy Kimario (kulia) akikabidhi sehemu ya msaada wa madaftari kwa mtoto, Ally Abdallah.
Ofisa Mkaguzi wa NSSF mkoa wa Temeke, Ummy Kimario (kulia) akikabidhi sehemu ya msaada wa madaftari kwa mtoto, Ally Abdallah.
Viongozi wa NSSF mkoa wa Temeke wakiwa katika picha ya pamoja na watoto wa Kituo cha Kulelea Watoto wanaoishi katika Mazingira Magumu cha Darul-Arqam cha Tandika jijini Dar es Salaam.
  Katibu Mkuu wa Taasisi ya Jumiiyatul Akhlaaqul Islaam (J.A.I), ya jijini Dar es Salaam akizungumza wakati wa hafla ya kupokea msaada wa vifaa tiba kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa ajili ya kusaidia taasisi hiyo ambayo inatoa huduma za kijamii pamoja na kuwahudumia wagonjwa bila kujali imani wala jinsia. 
 Baadhi ya maofisa wa NSSF mkoawa Temeke.
Maofisa wa NSSF mkoa wa Temeke wakiwa katika ofisi za JAI muda mfupikabla ya kutoa msaada wa vifaa tiba.


Mhasibu Mwandamizi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abdulkarim Kisuguru akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi misaada ya vifaa tiba katika Taasisi ya Jumiiyatul Akhlaaqul Islaam ya jijini Dar es Salaam.
Ofisa Mafao ya Matibabu NSSF, Dokta Zakia Mohamed akifafanua jambo kuhusu vifaa tiba walivyokabidhi katika taasisi hiyo.
Sehemu ya msaada wa vifaa tiba vilivyotolewa na NSSFkwa taasisi ya JAI.
Meneja Kiongozi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), mkoa wa Temeke, Chedrick Komba (wa pili kulia) akikabidhi msaada wa vifaa tiba kwa Mwenyekiti Kamati ya Utendaji ya Taasisi ya Jumiiyatul Akhlaaqul Islaam, Ahmed Hassan Bakar (wa pili kushoto) na Naibu Mwenyekiti, Aman Soud Aman.
Katibu Mkuu wa Taasisi ya Jumiiyatul Akhlaaqul Islaam ya jijini Dar es Salaam akiagana kwa furaha na Meneja Kiongozi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), mkoa wa Temeke, Chedrick Komba (kulia) baada ya kupokea msaada wa vifaa tiba kutoka Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF).
Picha ya pamoja.
 Picha ya pamoja.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA