PHIL JONES AONGEZEWA MKATABA MAN UTD


Kama kawaida hii ndio mida ya kurekebisha, kuongeza na kupata mikataba mipya kwa wachezaji mbalimbali. Wengine wanakua over priced na wengine under priced ili mradi biashara ifanyike na kila mtu apate chake.Manchester united inategemea kumpa mkataba mpya beki wao Phil Jones wiki hii baada ya mkataba wake wa sasa kuwa unaisha mwishoni mwa msimu ujao. Jones ana miaka 23 hivi sasa na anategea kulipwa £80,000 kwa wiki kwenye mkataba mpya.
Jones alijiunga na Man united akitoka Blackburn kwa ada ya pound milioni 16 mwaka 2011

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.