Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma wakiweka shada katika
kaburi la mpigania uhuru na muasisi wa taifa la India Mahatma Ghandi
jijini New Delhi India leo asubuhi
Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete akikaribishwa na
Waziri Mkuu wa India, Mheshimiwa Narendra Modi mara baada ya kuwasili Ikulu ya
India kwa sherehe za ukaribisho wake rasmi nchini India kwa ajili ya ziara yake
ya Kiserikali. Sherehe hizo zimefanyika asubuhi ya leo, Ijumaa, Juni 19, 2015.
Rais Dkt.Jakaya
Mrisho kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, Waziri Mkuu wa IndiaMheshimiwa
Narendra Modi, na Rais Wa IndiaMheshimiwa Pranad Mukherjee wakiwa katika picha
ya pamoja muda mfupi baada ya Rais kikwete kuwasili katika ikulu ya India kwa
mapokezi rasmi
Comments