Aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akiwa na fomu za kuomba kuwania urais kupitia CCM, mara baada kukabidhiwa Makao Makuu ya CCM Dodoma
Waziri wa Ushirikiano wa wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta akiwa na fomu za kuwani kugombea urais ndani ya CCM
Waziri wa UVUVI NA MAENDELEO YA MIFUGO, Titus Kamani akiwa na fomu za kuomba kuwania urais kupitia CCM
Comments