Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wadau wengine wakati akitangaza nia ya kuwania nafasi ya urais wakati ukifika iwapo jina lake litapitishwa na chama chake cha CCM.
Wanaccm wakiwa kwenye mkutano wa kutangaza nia ya urais Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye.
Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, akiingia ukumbini katika Hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro Dar es Salaam, akiwa ameongozana na mke wake Ester Frederick Sumaye kwa ajili ya kutangaza nia ya kuwania nafasi ya urais wakati ukifika iwapo jina lake litapitishwa na chama chake cha CCM.
Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wadau wengine wakati akitangaza nia ya kuwania nafasi ya urais wakati ukifika iwapo jina lake litapitishwa na chama chake cha CCM. (PICHA NA DOTTO MWAIBALE)
Wanaccm wakiwa kwenye mkutano wa kutangaza nia ya urais Waziri Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye.
Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, akiingia ukumbini katika Hoteli ya Hyatt Regency Kilimanjaro Dar es Salaam, akiwa ameongozana na mke wake Ester Frederick Sumaye kwa ajili ya kutangaza nia ya kuwania nafasi ya urais wakati ukifika iwapo jina lake litapitishwa na chama chake cha CCM.
Waziri Mkuu Mstaafu Frederick Sumaye, akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wadau wengine wakati akitangaza nia ya kuwania nafasi ya urais wakati ukifika iwapo jina lake litapitishwa na chama chake cha CCM. (PICHA NA DOTTO MWAIBALE)
Comments