TBL YATOA MSAADA WA DOLA 24,000 TAASISI YA ACE AFRICA

 Mkurugenzi wa Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bw. Stephen Kilindo (kulia), akikabidhi mfano wa hundi ya Dola 24,000 za Kimarekani kwa Meneja wa Fedha na Utawala wa Taasisi ya ACE Afrika, Bw. Oswald Mwita, Dar es Salaam jana kwa ajili ya kuongeza tija kwa wakulima wa mbogamboga na wafugaji wa mbuzi wa maziwa katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Mwanza. Fedha hizo zimetolewa na Kampuni SABMiller tanzu ya TBL.
 Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dorice Malulu (kulia), akifafanua jambo kuhusu msaada uliotolewa na Kampuni hiyo kwa ACE Afrika kwa ajili ya kuongeza tija kwa wakulima wa mbogamboga wa mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Mwanza. Wengine ni Meneja wa Fedha na Utawala wa ACE Afrika, Bw. Oswald Mwita (kushoto) na Mkurugenzi wa Sheria TBL, Stephen Kilindo.
 Meneja wa Fedha na Utawala wa Taasisi ya ACE Afrika, Bw. Oswald Mwita, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana baada ya kupokea mfano wa hundi ya Dola 24,000  za Marekani zilizotolewa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kwa ajili ya kuongeza tija kwa wakulima wa mbogamboga katika mikoa ya Arusha,

Meneja wa Fedha na Utawala wa Taasisi ya ACE Afrika, Bw. Oswald Mwita, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana baada ya kupokea mfano wa hundi ya Dola 24,000 za Marekani zilizotolewa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kwa ajili ya kuongeza tija kwa wakulima wa mbogamboga katika mikoa ya Arusha, 

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*