Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akimkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na Rais
Uhuru Kenyatta wa Kenya muda mfupi kabla ya kuanza mazungumzo juu ya
mzozo wa Burundi Mei 31, 2015
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akimkaribisha Ikulu Rais Yoweri Museven wa Uganda muda mfupi kabla ya
kuanza mazungumzo juu ya mzozo wa Burundi Mei 31, 2015
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akimkaribisha Ikulu Rais Yoweri Museven wa Uganda akisalimiana na Rais
Jackob Zuma wa Afrika ya Kusini muda mfupi kabla ya kuanza mazungumzo
juu ya mzozo wa Burundi Mei 31, 2015
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akizungumza na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika Dkt.Nkosazana
Dlamini Zuma Ikulu jijini Dar es Salaam wakati wa mazungumzo ya amani ya
Burundi Mei 31,2015
Comments