Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akimpa mkono wa pole Bi. Mwaka
Mohamed ambaye ni mjane wa aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni
(CCM), marehemu Salmin Awadh Salmin aliyefariki mapema Februari mwaka
huu, wakati alipokwenda kuhani msiba nyumbani kwake, Mkoa wa Mjini
Unguja, Zanzibar.
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akitoa mkono kwa familia ya
aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni (CCM), marehemu Salmin Awadh
Salmin aliyefariki mapema Februari mwaka huu, wakati alipokwenda kuhani
msiba nyumbani kwake, Mkoa wa Mjini Unguja, Zanzibar.
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe akitoa ubani kwa Bi. Mwaka
Mohamed ambaye ni mjane wa aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni
(CCM), marehemu Salmin Awadh Salmin aliyefariki mapema Februari mwaka
huu, wakati alipokwenda kuhani msiba nyumbani kwake, Mkoa wa Mjini
Unguja, Zanzibar.
Comments