Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe
(kulia) akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa
Lindi, waliofika kwenye Ofisi ya CCM mkoani humo Juni 08.2015, kwa
ajili ya kutia saini fomu za kumdhamini ili ateuliwe kuwania urais
katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza
kupata wadhamini zaidi ya 300.Picha zote na John Badi
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (wa
pili kushoto) na mkewe Dorcas (kushoto) wakifuatilia kwa makini jinsi
wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Lindi, wakati wakitia
saini fomu za kumdhamini kwa ajili ya kuteuliwa kuwania urais katika
uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, katika Ofisi ya CCM mkoani
humo Juni 08.2015, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 300.
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe
(kushoto) akifuatilia kwa makini jinsi wanachama wa Chama Cha Mapinduzi
(CCM) wa Mkoa wa Lindi, wakati wakitia saini fomu za kumdhamini kwa
ajili ya kuteuliwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya
chama hicho, katika Ofisi ya CCM mkoani humo Juni 08.2015, ambapo
aliweza kupata wadhamini zaidi ya 300.
Sehemu ya umati wa wanachama wa
Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Lindi, waliofika kwenye Ofisi ya
CCM mkoani humo Juni 08.2015, kwa ajili ya kutia saini fomu
za kumdhamini ili ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa
tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 300.
Waziri wa Mambo ya Nje na
Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe
(kushoto) akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa
Mtwara, waliofika kwenye Ofisi ya CCM Mtwara mjini Juni 08.2015, kwa
ajili ya kutia saini fomu za kumdhamini ili ateuliwe kuwania urais
katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, ambapo aliweza
kupata wadhamini zaidi ya 500. Picha zote na John Badi
Katibu wa CCM Mtwara mjini,
Modesta Mwaya akimkabidhi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia), fomu
zilizotiwa saini na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mtwara
mjini, waliofika kwenye Ofisi hizo Juni 08.2015, kwa ajili ya kumdhamini
ili ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya
chama hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 500.
Sehemu ya umati wa wanachama wa
Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mtwara, waliofika kwenye Ofisi ya CCM
Mtwara mjini Juni 08.2015, kwa ajili ya kutia saini fomu za kumdhamini
ili ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama
hicho, ambapo aliweza kupata wadhamini zaidi ya 500.
Comments