Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
akiwapungia mkono wananchi wa Mji wa Mpanda waliofika kwenye uwanja wa
ndege kumpokea wakati alipowasili mjini hapo akitoka Dodoma Juni
14,2015.
Picha zote na Ofisi ya Waziri Mkuu
Baadhi ya wananchi wa mji wa
Mpanda waliojitokeza kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda kumpokea Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipowasili kwenye uwanja huo akitoka
Dodoma Juni 14, 2014.
Comments