WAZIRI WA KILIMO ,CHAKULA NA USHIRIKA STEPHEN WASIRA AZURU MKOA WA KILIMANJARO NA ARUSHA KUOMBA KUDHAMINIWA



wa kwanza kushoto ni Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira; akiwa ndani ya ofisi za CCm mkoa wa kilimanjaro wakati alipoenda kuomba kuthaminiwa na wananchi  ili kuweza kupata nafasi ya kugombea nafasi ya Urais kati kati ni mwenyekiti wa mkoa wa kilimanaro Deogratius  Luta kulia ni katibu wa ccm mkoa huo Idd Juma Mohamed



Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akiwa anaongea na mmoja wa kada wa ccm aliyejitokeza kumdhamini

 waziri wakilimo na ushirika Stephen Wasira akiwa anaongea na wananchi waliojitokeza kumthamini katika mkoa wa Arusha,picha na woinde shizza

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.