William Lukuvi awasilisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara yake kwa mwaka wa fedha 2015/16 bungeni mjini dodoma
Waziri
wa Aridhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi akiwasilisha
Makadirio ya Matumizi ya Wizara hiyo kwa mwaka 2015/16 bungeni mjini
Dodoma Juni 8, 2015,
Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendekeo ya Makazi Mh. William Lukuvi (MB) akitenda jambo na Watendaji
wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Mkuregenzi Mkuu wa Shirika hilo
Bwn. Nehemiah Mchechu (kulia) na Meneja wa Shirika hilo Mkoa wa Dodoma,
Bwn. Itandula Gambalagi.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendekeo ya Makazi Mh. William Lukuvi (MB) akibadirishana mawazo na
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Bwn. Nehemiah
Mchechu, baada ya kuwasilisha Bungeni bajeti ya Wizara ya Ardhi, Nyimba
na Maendeleo ya Makazi leo Dodoma.
Na. Georgina Misama…Maelezo…Dodoma.
Comments