AFRIKA KUSINI YAVUTIWA KUWEKEZA KWENYE NISHATI NCHINI

 Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Kulia) akizungumza na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku mapema leo, Agosti 24, 2015 ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Kulia) akiwa na Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku mapema leo Agosti 24, 2015 mara baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika ofisini kwake Makao Makuu ya Wizara, jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene (Kulia) akimkaribisha Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku. Balozi Mseleku alimtembelea Waziri Simbachawene mapema leo (Agosti 24), ofisini kwake na kufanya nae mazungumzo.
Balozi wa Afrika Kusini nchini Tanzania, Thami Mseleku (katikati) akimweleza jambo Waziri wa Nishati na Madini George Simbachawene (Kulia), alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam mapema leo, Agosti 24, 2015 na kufanya naye mazungumzo. Kushoto ni Afisa kutoka Ubalozi wa Afrika Kusini nchini, aliyeambatana na Balozi Mseleku, Bi Patiwe Mokoena.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA