Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Fatma Salum Ally akifungua
mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa
Tunakuwezesha’, yaliyofanyika kwenye Ukumbi VETA mjini Mtwara jana.
Meneja
wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi akizungumza wakati wa
mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa
Tunakuwezesha’, yaliyofanyika kwenye Ukumbi VETA mjini Mtwara jana.
Meneja
wa Airtel Mtwara, Bartholomew Masatu akitoa mada kuhusu fursa
mbalimbali zinazoweza kuwakwamua vijana kiuchumi, wakati wa mafunzo ya
ujasiriamali kwa vijana kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa Tunakuwezesha’,
yaliyofanyika kwenye Ukumbi VETA mjini Mtwara jana.
Mkufunzi
kutoka Mpango wa Anzisha na Boresha Biashara yako (SIYB) ulio chini
Shirika la Kazi Duniani (ILO), Fidelis Madaha akitoa mada wakati wa
mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana kupitia mpango wa Airtel ‘Fursa
Tunakuwezesha’, yaliyofanyika kwenye Ukumbi VETA mjini Mtwara jana.
Mkuu
wa Wilaya ya Mtwara, Fatma Salum Ally (kulia), akijadiliana jambo na
vijana walionufaika na fursa za Airtel (kutoka kushoto), Iddy Salum
Chilumba, Godfrey Frank Manjavila na Prisca George Chilumba baada ya
kufungua mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana kupitia mpango wa Airtel
‘Fursa Tunakuwezesha’, yaliyofanyika kwenye Ukumbi VETA mjini Mtwara
jana. Wanaoshuhudia ni Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Airtel, Hawa Bayumi
(wa pili kulia) na Meneja wa Airtel Mtwara, Bartholomew Masatu.
Comments