AZAM FC MABINGWA WA KOMBE LA KAGAME 2015


Kombe la Kagame walilotwaa Azam FC.
(Picha zote na Francis Dande)
 Nahodha wa Azam John Bocco akipokea kitita cha dola za kimarekani dola elfu 30.
Viongozi wa Azam pamoja na wachezaji wakiwa katika picha ya pamoja.
 Wachezaji wa Azam FC wakishangilia wakiwa na Kombe lao baada ya kukabidhiwa katika mchezo wa fainali baada ya kuifunga Gor Mahia ya Kenya 2-0.
Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall akiwa amebebwa na wachezaji wa timu hiyo baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ya Kombe la Kagame dhidi ya For Mahia ya Kenya uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini
Dar es Salaam. Azam ilishinda 2-0. 
 
Kocha Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall akiwa amebebwa na wachezaji wa timu hiyo baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali ya Kombe la Kagame dhidi  ya For Mahia ya Kenya uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini
Dar es Salaam. Azam imeshinda 2-0.
 Shomari Kapombe wa Azam FC akichuana na mchezaji wa timu ya Gor Mahia ya Kenya, Aucho Khalid.
Furaha ya ushindi.
Kocha wa Azam, Stewart Hall (kulia) akipeana mkono na mwenzake wa Gor Mahia.
 Wachezaji wa Azam FC wakishangilia baada ya kumalizika kwa mchezo wa fainali.
Mshambuliaji wa Azam FC, Kipre Tchetche akishangilia goli la pili aliloifungia timu yake.
Mashabiki wa Azam FC.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*