BALOZI WA PAPA MTAKATIFU NCHINI FRANCHESCO PADILIA AMEMVALISHA MKANDA WA PALIOTAKATIFU ASKOFU WA JIMBO KUU KATOLIKI LA DODOMA BEATUS KINYAIYA



 Balozi wa Papa Mtakatifu wa kanisa katoliki Nchini Franchesco Padilia akitosi pamoja na Askofu Mstaafu wa kanisa katoliki Jimbo la Dodoma Mathias Isuja walipokua kwenye Tafrija Fupi ya kumpongeza Askofu mteule wa jimbo hilo aliyekuwa akivishwa mkanda  wa ngozi ya kondoo ujulikanao kama Pallium. baada ya kumkabidhi kusimamaia majimbo ya Dodoma, Kondoa na Singida
  Balozi anayemwakilisha Papa Fransico nchini, Askofu Beatus Kinyaiya na Fadha Chesco Msaga Mwenye Suti wakiingia kwenye ukumbi wa kanisa katoliki jimbo la Dodoma kwa ajili ya kumpongeza Askofu mwenyeji baada ya kuvalisha mkanda wa uliotengenezwa kwa ngozi ya kondoo ujulikanao kama Paliotakatifu [Pallium] ambao ni maalumu kwa maaskofu wakuu pekee.

 
 
 Mapadri wakiwa ndani ya ukumbi huo

 Mwenyekiti wa kamati ya maandalizi ya tafrija hiyo Peter Mavunde ambaye alikuwa mc wa Shuhuri hiyo akiwakabidhi zawadi ya sanamu za yesu akiwa kama mchungaji wa kondoo na nyingine akiwaosha miguu wanafunzi wake.


 Askofu Kinyaiya akiwa kwenye picha ya pamoja na watoto wa kipapa na nyingine akiwa na kamati ya maandalizi.


  Balozi wa Papa mtakatifu Nchini Franchesco Padilia na askofu wa kanda ya ziwa Yuda Thadey Luwaichi wakijadiliana jambo kwenye shuhuli hiyo. 

MGOMBEA URAIS MWENZA WA CCM BI. SAMIA SULUHU HASSAN ALITIKISA JIJI LA ARUSHA

mgombea mwenza wa nafasi ya urais  Bi. Samia Suluhu akiwa anawahutubia wananchi wa mkoa wa Arusha katika viwanja vya Samunge vilivyopo jijini hapa
 wananchi waliouthuria katika mkutano huo hii leo
 mgombea mwenza wa nafasi ya urais akiwa anacheza ngoma  iliyokuwa inapigwa na wamama wa chama cha mapinduzi waliouthuria mkutano huo





 Baadhi ya  makada wa CCM  ambao wamewahi kugombea nafasi ya ubunge wa jimbo la Arusha mjini na kushidwa kutokana na kura kutotosha wakiwa ndani ya mkutano huo







mgombea mwenza wa nafasi ya urais  Bi. Samia Suluhu akiwa ana mnadi mgombea ubunge jimbo la Arusha mjini  Philemon Mollel hii leo


Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.