Waziri Mkuu
mstaafu, Fredreck Sumaye (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati
akitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo
mchana.
Waziri Mkuu mstaafu, Fredreck Sumaye
(kulia), akipeana mkono na Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe Dar es Salaam leo mchana, baada ya
kujiunga na chama hicho. Anayeshuhudia katikati ni Mgombea urais wa
Tanzania kupitia chama hicho, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.
Sumaye akisisitiza jambo
Sumaye (wa tatu kulia), akiwa na viongozi wanaunda Umoja wa Katiba (UKAWA) baada ya kuondoka CCM na kujiunga na Chadema.
Comments