Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein (wa pili kulia)akiuliza suala
kwa Afisa wanyamapori Idara ya Misitu salum Khamis (kushoto) wakati
alipotembelea maonesho ya kazi mbali mbali katika sherehe za uzinduzi wa
Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii
Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo
,[Picha na Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwakilishi wa
Balozi wa Norway Trygve Bendiksby wakati alipowasili katika sherehe za
Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha
Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Mwakilishi wa
Shirika la Kimataifa la Care Tanzania Bw,Paul Daniel (katikati) wakati
alipowasili katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika
hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa
Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo,(kulia) Balozi wa Norway Trygve
Bendiksby,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein akipanda mche wa muembe Mviringo
ikiwa kama kumbukumbu yake wakati sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa
(HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani
ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo,
Mwakilishi wa Shirika la
Kimataifa la Care Tanzania Bw,Paul Daniel (katikati) Mwakili wa Balozi
wa Norway Trygve Bendiksby (kushoto) na Waziri wa Ofisimya Makamo wa
Pili wa Rais Mohaamed Aboud Mohamed pamoja na Viongozi wengine
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
MapinduziDk.Ali Mohamed Shein wakati alipotoa hutuba yake katika
sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili
kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini
Pemba leo,
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein akiteta jambo na Wazi wa Kilimo
Mali asili Sira Ubwa Mamboya katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa
(HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani
ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Wananchi waliohudhuria katika
sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili
kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini
Pemba leo,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
MapinduziDk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi
wa mradi huo.
Wananchi waliohudhuria katika
sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika hifadhi ya Misitu asili
kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa Ngezi Mkoa wa Kaskazini
Pemba leo,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
MapinduziDk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake ya ufunguzi
wa mradi huo
Baadhi ya Viongozi na Wananchi
waliohudhuria katika sherehe za Uzinduzi wa Mradi wa (HIMA) katika
hifadhi ya Misitu asili kituo cha Jamii Makangale ndani ya Msitu wa
Ngezi Mkoa wa Kaskazini Pemba leo,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa
hutuba yake ya ufunguzi wa mradi huo,
Comments