HABARI MPASUKOOOO...NAIBU WAZIRI WA KAZI NA AJIRA DK. MAKONGORO MAHANGA AJIUNGA NA CHADEMA



Naibu Waziri wa Kazi na Ajira ambaye pia ni Mbunge wa CCM jimbo la Segerea anayemaliza muda wake, Dkt.
Milton Makongoro Mahanga ametangaza rasmi kujiunga na Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Dkt. Mahanga ametangaza uamuzi huo
leo mbele ya waandiishi wa habar leo nyumbani kwake, Segerea Mwisho...Makongoro ameshindwa katika kura za maoni za kuomba kuwania ubunge Jimbo la Segerea kupitia CCM

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.