Mkurugenzi wa Uchaguzi aliyemaliza
muda wake, Jaji Julius Mallaba (kushoto), ambaye ameteuliwa kuwa Jaji
wa Mahakama Kuu ya Tanzania akiongea na Mkurugenzi wa Uchaguzi mpya,
Kailima Kombwey mapema leo wakati akikabidhi ofisi ya Tume ya Taifa ya
Uchaguzi (NEC) jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Uchaguzi aliyemaliza
muda wake, Jaji Julius Mallaba (kushoto), ambaye ameteuliwa kuwa Jaji
wa Mahakama Kuu ya Tanzania akimsikiliza Mkurugenzi wa Uchaguzi mpya,
Kailima Kombwey mapema leo wakati akikabidhi ofisi ya Tume ya Taifa ya
Uchaguzi (NEC) jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Uchaguzi aliyemaliza
muda wake, Jaji Julius Mallaba (kushoto), ambaye ameteuliwa kuwa Jaji
wa Mahakama Kuu ya Tanzania akikabidhi nyaraka za Tume ya Taifa ya
Uchaguzi (NEC) kwa Mkurugenzi wa Uchaguzi mpya, Kailima Kombwey mapema
leo wakati akikabidhi ofisi ya NEC jijini Dar es Salaam.
Comments