KITUO CHA REDIO 5 NDANI YA NANE NANE ARUSHA

SAM_4795Wafanyakazi wa Kampuni ya Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Redio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha,wakiwa katika banda lao la matangazo katika viwanja vya nane nane Themi njiro jijini Arusha (Habari Picha na Pamela Mollel wa jamiiblog)
SAM_4802Mtangazaji maarufu ndani na nje ya Arusha Semio Sonyo wa kituo cha Redio 5 akirusha matangazo moja kwa moja katika maonyesho ya nane nane,kushoto Meneja masoko wa kampuni ya Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Redio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha, Bi.Sarah Keiya
SAM_4789
Taswira katika banda la kituo cha Redio 5 wakirusha matangazo yao moja kwa moja katika maonyesho ya nane nane Themi njiro jijini Arusha

Meneja masoko wa ampuni ya Tan Communication Media inayomiliki kituo cha Redio 5 chenye makao yake makuu jijini Arusha, Bi.Sarah Keiya amesema kuwa kila wanaposhiriki maonyesho ya nane nane kila mwaka kipaumbele cha kwanza ni kuhakikisha wanawafikia wakulima,wafugaji na wafanyabiashara katika maonyesho hayo ya nane nane

Pia alisema kwa mwaka huu kutakuwa na mashindano ya kila aina ikiwemo la shindano la kuimba,kurup,kula na kunywa,vipaji vya danadana huku akiweka wazi kuwa zawadi zipo kwa washindi wa shindano hilo



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI