LOWASSA AANDIKA UJUMBE MZITO USIKU WA KUAMKIA LEO BAADA YA PROF. LIPUMBA KUJIUZULU!


 Ninapenda kuwashukuru wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama changu, CHADEMA, kwa kunipitisha kwa kura zote kuwa mgombea wa Urais kupitia muungano wa vyama vyetu, UKAWA. Kiupekee kabisa napenda kumpa shukrani na pongezi mgombea mwenza, Juma Duni Haji Kwa kukubali majukumu haya makubwa ya kuelekea
mabadiliko makubwa pamoja na Mwenyekiti wetu, Freeman Mbowe kwa kusimama imara katika kipindi hiki kigumu. Nimewaambia wajumbe wa mkutano mkuu kuwa natambua kazi wanayofanya ni kubwa na wanajitolea, na kwa umoja wetu, tutafika kila jimbo na kufanya kampeni za kisayansi bila matusi na tutapata Ushindi wa Asubuhi Mapema. Asanteni sana kwa imani yenu kwangu.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.