Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Wazee wa Tandale, wakati
alipotembelea Soko la Tandale, jijini Dar es salaam leo, akiambatana na
Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji Duni (kushoto).PICHA ZOTE NA MTAA KWA MTAA BLOG
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji
Duni wakipata maelezo kutoka kwa Bw.Omari Juma (kulia) ambaye ni
mfanyabiashara ya kuuza Maharage katika Soko la Tandale, Manzese Jijini
Dar es salaam leo Agosti 25, 2015, wakati walipotembelea Soko hilo
kujionea hali ya biashara masokoni.
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mwenza wake, Dkt. Juma Haji
Duni wakiwapungia wananchi wa Tandale, Manzese Jijini Dar es salaam leo
Agosti 25, 2015.
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akimsikiliza kijana ambaye ni muendesha
baiskeli ya miguu mitatu (guta) aliekuwa akitoka kwenye Soko la Tandale,
Manzese Jijini Dar es salaam leo Agosti 25, 2015.
Mgombea
Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo
(CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisalimiana na Bi Mkubwa (jina lake
halikupatikana kwa haraka) aliekutana nae ndani ya Soko la Tandale,
Manzese Jijini Dar es salaam leo Agosti 25, 2015.
Comments