Makamu
wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akipewa
maelezo ya ujenzi wa kituo cha kuwarekebisha watu walioathirika kwa
matumizi ya dawa za kulevya huko Kidimni Wilaya ya Kati. Anayetioa
maelezo hayo (aliyenyoosha mkono) ni Katibu Mkuu wa Ofisi hiyo, Dk. Omar
Dad Shajak. Picha na Salmin Said, OMKR.
MAKAMU
wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amesifu
maendeleo mazuri ya ujenzi wa kituo cha kisasa cha kuwarekebisha kitabia
watu walioingia katika matumizi ya dawa za kulevya kinachojengwa
Kidimni Wilaya ya Kati Unguja.
Comments