MAPOKEZI YA MGOMBEA URAIS WA UKAWA JIJINI MBEYA


New Picture
New Picture (1)
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama
cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Edward Lowassa akiwapumbia maelfu ya
wakazi wa Jiji la Mbeya, waliofurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Rwanda
Nzovwe, Ilomba leo Agosti 14, 2015. Mh. Lowassa na Mgombea mwenza
wake Dkt. Juma Haji Duni, walikuwa jijini humo kwa ajili ya zoezi la
kutambulishwa kwa wananchi.
New Picture (2)
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Mh. Joseph Mbilinyi “Sugu”
akimueleza jambo Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Mh. Edward Lowassa,
wakati akiwahutubia wananchi wa Jiji la Mbeya

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI