Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM Mama Samia Suluhu akihutubia maelfu
ya wananchi kwenye mkutano wake wa kampeni aliofanya kwenye Viwanja vya
CCM Majengo, jimbo la Moshi mjini mkoani Kilimanjaro, leo.
Wananachi
wakimpongeza mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia
Suluhu Hassani baada ya kuhutubia mkutano wa kampeni kwenye viwanja vya
CCM Majengo jimbo la Moshi mjini Mkoani Kilimanjaro leo.
Wananchi
wakishangilia kwa furaha wakati mgombea mwenza kwa tiketi ya CCM, Mama
Samia Suluhu Hassani, alipohutubia mkutano wa kampeni kwenye viwanja vya
CCM Majengo, jimbo la Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro leo.
Mwananchi akishangilia kwa nguvu zake zote, mgombea mwenza kwa tiketi ya
CCM, Mama Samia Suluhu Hassani, alipohutubia mkutano wa kampeni kwenye
viwanja vya CCM Majengo, jimbo la Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro leo.
viwanja vya CCM Majengo, jimbo la Moshi Mjini mkoani Kilimanjaro leo.
Sehemu ya umati wa wananchi waliohudhuria mkutano huo wa kampeni
Wananchi wakijimwayamwaya Uwanjani wakati wa mkutano huo
Comments