Katibu
Mkuu msaafu wa Jumuiya ya Wandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) Suzan Peter
Kundambi katikati akitoa taarifa ya mwaka kwa Wanachama wa Jumuiya hiyo
katika mkutano wa Mwaka wa ZPC ulioambatana na uchaguzi. Mkutano huo
uliofanyika ukumbi wa Ekrotanal Mjini Unguja.
Wajumbe
walioshiriki uchaguzi wa Jumuiya ya Wandishi wa Habari Zanzibar (ZPC)
wakipiga kura kuchagua uongozi mpya katika mkutano wa Mwaka wa Jumuiya
hiyo ambao uliambatana na uchaguzi huo ambao uliofanyika ukumbi wa
Ekrotanal Mjini Unguja.
Wajumbe
walioshiriki uchaguzi wa Jumuiya ya Wandishi wa Habari Zanzibar (ZPC)
wakipiga kura kuchagua uongozi mpya katika mkutano wa Mwaka wa Jumuiya
hiyo ambao uliambatana na uchaguzi huo ambao uliofanyika ukumbi wa
Ekrotanal Mjini Unguja.
Mweyekiti
mpya wa Jumuiya ya Wandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) kulia akipongezana
na aliyekuwa mpinzani wake katika nafasi ya Uenyekiti Suleiman Abdallah
mara baada ya kutangazwa rasmi kuwa Mwenyekiti mpya katika uchaguzi
uliofanyika ukumbi wa Ekrotanal Mjini Unguja.
Katibu
Mpya wa Jumuiya ya Wandishi wa Habari Zanzibar (ZPC) Faki Mjaka akiomba
kura kwa Wanachama (hawapo pichani)kabla ya kufanyika Uchaguzi huo.
Katibu huyo anashika nafasi ya Suzan Peter mara baada ya kushika nafasi
hiyo katika mkutano wa Mwaka wa Jumuiya hiyo uliambatana na uchaguzi
huko ukumbi wa Ekrotanal Mjini Unguja.
Comments