Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akisalimiana na mwakilishi wa mfuko wa Kuwait Bwana Abdulrahman Al
Hashim wakati wa sherehe ya ufunguzi wa Barabara ya Ndundu-Somanga
kijiji cha Marendego Wilaya ya Kilwa Agosti 7, 2015.iliyofadhiliwa na
mfuko huo.Kulia ni Balozi wa Kuwaiti nchini Tanzania Mhe.Jassem Ibrahim
al Najem.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akijadiliana jambo na Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli wakati wa
sherehe ya ufunguzi wa Barabara ya Ndundu Somanga.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,
Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli(wapili kushoto),Balozi wa
Kuwaiti nchini Tanzania Mhe.Jassem Ibrahim Al Najem(kulia) pamoja na
mwakilishi wa Mfuko wa Kuwait Bwana Abdulrahman Al Hashim(wapili kulia)
wakifunua kitambaa katika jiwe kuashiria kufungua rasmi barabara ya
kilometa 60 ya Ndundu-Somanga wakati wa hafla ikiyofanyika katika kijiji
cha Marendego Wilaya ya Kilwa Agosti 7, 2015.
Barabara hiyo imefadhiliwa na mfuko wa Kuwait.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,
Waziri wa Ujenzi Dkt.John Pombe Magufuli, Mwakikushi wa Mfuko wa Kuwaiti
Bwana Abdurahman Al Hashim, Balozi wa Kuwait nchini Tanzania Mhe.Jassem
Ibrahim Al Najem wakikata utepe kufungua rasmi Barabara ya
Ndundu-Somanga yenye urefu wa kilomita 60 katika hafla iliyofanyika
katika kijiji cha Marendego Wilaya ya Kilwa.Barabara hiyo imejengwa kwa
ufadhili wa mfuko wa Kuwaiti.Wengine katika picha ni mkuu wa mkoa wa
Lindi Mwantum Mahiza,Mkuu wa mkoa wa Pwani Mhandisi Evarist Ndikilo na
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete
akisalamiana na baadhi ya wananchi waliohudhuria sherehe ya ufunguzi wa
Barabara ya Ndundu Somanga.
Picha na Freddy Maro
Comments