RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU DODOMA

unnamed (85)
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati kuu ya CCM kilchofanyika katika ukumbi wa White house, Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma leo.
unnamed (86)
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akifungua kikao cha Kamati Kuu ya CCM, leo Agosti, 11, 2015 katika ukumbi wa Jengo la White House Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM, Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara, Philip Mangula na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
unnamed (87)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa katika Kikao cha Kamati Kuu ya CCM, leo Agosti, 11, 2015 katika ukumbi wa Jengo la White House Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma. 
unnamed (88)
Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Steven Wasira na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Adam Kimbisa wakibadilishana mawazo kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma. 
unnamed (89)
Wajumbe wa Kamati Kuu, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye na Adam Kimbisa na Dk. Emmanuel Nchimbi, wakibadilishana mawazo kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma.
unnamed (90)
Wajumbe wa Kamati Kuu, Dk. Maua Daftari na Samia Suluhu Hassan, wakibadilishana mawazo ukumbini, kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM, leo mjini Dodoma. 
unnamed (91)
Mjumbe wa Kamati Kuu, Adam Kimbisa akiwasalimia wajumbe wenzake ukumbini kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCM leo mjini Dodoma. Kutoka kulia ni Shamsi Vuai Nahodha, Zakia Meghji na Dk. Salim Ahmed Salim.
unnamed (92)
Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Zakiah Meghji na Dk. Asha-rRose Migiro wakibadilishana mawazo ukumbini kabla ya kuanza kikao cha Kamati Kuu ya CCm leo mjini Dodoma.
unnamed (93)
Wajumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Spika wa Baraza la Wawakilishi, Ameir Pandu Kificho akibadilishana mawazo na mjumbe mwenzake, Khadija Adood, kabla ya kikao cha Kamati Kuu ya CCM kuanza leo mjini Dodoma.
unnamed (94)
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akibadilishana mawazo na Mjumbe mwenzake wa Kamati Kuu, Zakiah Meghji kabla ya kikao cha Kamati Kuu kuanza leo mjini Dodoma. (Picha na Bashir Nkoromo)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU