SHEREHE YA KUWAKARIBISHA RASMI WASHIRIKI WA SHINDANO LA MAMA SHUJAA WA CHAKULA 2015 KIJIJI CHA MAKUMBUSHO JIJINI DAR, WAINGIA RASMI KAMBINI
Bi.
Sophia Mkazi na Mwenyeji wa Kijiji cha Kasanga Wilayani Kisalawe Mkoani
Pwani akiwakaribisha wageni ambao ni Washiriki wa Shindano la mama
shujaa wa Chakula kijijini huko katika sherehe ya iliyofanyika Kijiji
cha Makumbusho Jijini Dar es salaam Jana. ambapo Programu mzima
itaoneshwa katika Runinga ya ITV kila Siku kuanzia Tarehe
2.08.2015-21.08.2015 kuanzia saa 12 Jioni.
Bw.
Godia Kaimu Mwenyekiti wa Kijiji cha Kasanga akiwakaribisha Washiriki
wa Shindano la Mama shujaa wa Chakula Shindano Linaloendeshwa na Oxfam
Tanzania kupitia Kampeni ya Grow Kijijini kwake.
Kaimu
Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ya Kisalawe Bw. Ellioth Phillemon
akiwakaribisha washiriki wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula Wilayani
Kisalawe.
Kikundi
cha Burudani na sanaa cha Rumumba Theatre wakiendelea na Burudani
wakati wa sherehe hizo za ukaribisho kijiji cha Makumbusho
Eluka
Kibona, Meneja
Utetezi na Ushawishi wa Oxfam akielezea kwa ufupi juu ya Mchakato mzima
wa Shindano la Mama shujaa wa chakula ambalo linalenga kuwawezesha
wakina mama kutambulika katika kilimo na kueleza Matakwa yao juu ya
kilimo endelevu.
Comments