Katibu Mkuu Kiongozi Balozi
Ombeni Sefue akifungua mkutano wa Serikali Mtandao unaowahusisha
Makatibu Wakuu, Makatibu Tawala,Wakurugenzi, Watendaji Wakuu wa Taasisi
na Wakala za Serikali unaofanyika katika Ukumbi wa AICC leo jijini
Arusha.
Katibu Mkuu wa Wizara ya
Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga akifuatilia mada
mbalimbali wakati wa Mkutano Mkuu wa mwaka wa Serikali Mtandao ngazi ya
Makatibu Wakuu, Makatibu Tawala, Wakurugenzi na Watendaji wakuu wa
Taasisi za Serikali unaoendelea jijini Arusha.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Mwaka wa Serikali Mtandao wakifuatilia mkutano huo leo jijini Arusha.
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (katikati) akiwa
katika picha ya pamoja na Makatibu wakuu, Makatibu Tawala wa
mikoa,Wakurugenzi wa Halmashauri na Watendaji wa Taasisisi mbalimbali za
Serikali mara baada ya kufungua Mkutano wa Serikali Mtandao leo jijini
Arusha.Picha na Aron Msigwa -MAELEZO.
Comments