TAASISI ZA SERIKALI ZATAKIWA KUJIANDAA NA MAGEUZI YA MATUMIZI MTANDAO MMOJA WA MAWASILIANO.

OM1
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akifungua mkutano wa Serikali Mtandao unaowahusisha Makatibu Wakuu, Makatibu Tawala,Wakurugenzi, Watendaji Wakuu wa Taasisi na Wakala za Serikali unaofanyika katika Ukumbi wa AICC leo jijini Arusha.
OM2
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo Sihaba Nkinga akifuatilia mada mbalimbali wakati wa Mkutano Mkuu wa mwaka wa Serikali Mtandao ngazi ya Makatibu Wakuu, Makatibu Tawala, Wakurugenzi na Watendaji wakuu wa Taasisi za Serikali unaoendelea jijini Arusha.
OM3
Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa Mwaka wa Serikali Mtandao wakifuatilia mkutano huo leo jijini Arusha.
OM4
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Makatibu wakuu, Makatibu Tawala wa mikoa,Wakurugenzi wa Halmashauri na Watendaji wa Taasisisi mbalimbali za Serikali mara baada ya kufungua Mkutano wa Serikali Mtandao leo jijini Arusha.Picha na Aron Msigwa -MAELEZO.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*