TAMASHA LA NHC FAMILY DAY LAFANYIKA KUNDUCHI BEACH HOTEL


????????????????????????????????????
Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Mawasiliano waNHC, Bi Suzan Omari akipata maelezo kutoka kwa baadhi ya wafanyakazi wa shirika hilo waliokuwa wakisimamia michezo mbalimbali wakati wa tamasha la NHC Family Day lililofanyika kwenye hoteli ya Kunduchi Beach mwishoni mwa wiki likishirikisha wafanyakazi wa shirika hilo jijini Dar es salaam na familia zao na kufahamiana ikiwani pamoja na kubadilishana mawazo.
????????????????????????????????????
Wafanyakazi hao wakishindana katika mbio ufukweni.
????????????????????????????????????
Mmoja wa wafanyakazi wa NHC akiwa amejishindia Jogoo katika shindano la kufukuza kuku.
????????????????????????????????????
Baadhi ya wafanyakazi wakijiandaa kushindana katika mbio za magunia.
????????????????????????????????????
Wakichuana vikali katika mbio za magunia.
????????????????????????????????????
Lazima kitoweo kikamatwe hapa.
????????????????????????????????????
Mkuu wa Kitengo cha Huduma na Mawasiliano waNHC, Bi Suzan Omari akishiriki katika kusimamia upangaji wa timu za mpira wa miguu.
????????????????????????????????????
Walishiriki pia katika mchezo huu ambao niliwahi kuucheza sana nikiwa mtoto.
????????????????????????????????????
Mchuano wa kuvuta kamba
????????????????????????????????????
Baadhi ya wakipiga picha ya pamoja mara baada ya kumalizika kwa michezo hiyo

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*