Waziri wa Maendeleo ya Jamii,
Jinsia na Watoto , Sophia Simba katikatik) akichangia jambo wakati wa Kongamnao
la Kongamano la pili la Wanawake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika biashara
ya na Maedneleo ya Kiuchumi na kijamii.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii,
Jinsia na Watoto, Sophia Simba katika picha ya pamoja na baadhi ya wanawake
wajasiliamali wanaoshiriki Kongamano la pili
la Wanawake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika biashara ya na Maedneleo ya
Kiuchumi na kijamii.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii,
Jinsia na Watoto, Sophia Simba, akiangalia bidhaa za wanawake wajasiliamali
katika maonesho yanayoendelea sambamba na
Kongamano la pili la Wanawake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika
biashara ya na Maedneleo ya Kiuchumi na kijamii.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Sophia Simba
anashiriki katika Kongamano la pili la Wanawake wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
katika biashara ya na Maendeleleo ya Kiuchumi na kijamii, nchini Kenya.
Lengo la Kongamano hilo ni kuwaleta pamoja wanawake wafanyabiashara,
wa Afrika Mashariki ili waweze kubadilishana uzoefu katika biashara pamoja na
kuangalia namna ya kutumia fursa zinazopatikana katika umoja wa forodha.
Kongamano hilo linatarajia kuwapatia wanawake nafasi ya
kubadilishana mawazo ya kibiashara na kuweka mikakati ya kuzifikia taasisi za
fedha ili kujijengea uwezo wa kiuchumi na kibiashara.Kongamano hilo linategemewa kuhudhuriwa na zaidi ya washiriki 300 kutoka
wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Comments