DK MAGUFULI AFANYA KWELI SINGIDA MJINI

 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk. John Magufuli akihutubia katika mkutano wa kampeni kwenye  Uwanja wa Peoples, mjini Singida jana, ambapo alilisitiza kwamba akishinda urais ataongeza ajira kwa vijana kwa kuwapa mikopo ya mitaji ya kuanzishia miradi mbalimbali ikiwemo ya ujenzi.NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akiwahesabia kupiga Push Up wagombea ubunge Mwiguru Nchemba wa Iramba (kulia), Musa Sima (katikati) wa Singida Mjini na Lazaro Nyalandu wa Jimbo la Singida Kaskazini jana wakati wa mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Peoples mjini Singida
 Dk Magufuli akikagua daraja la Msingi katika Kijiji cha Msingi wilayani Mkarama, Singida

 Mkazi wa Kata ya Sepuka Singida Magaribi  akiwa na mwanawe katika mkutano wa Dk Magufuli
 Wananchi wakishangilia kwa furaha baada ya kumuona Dk Magufuli akatika Kata ya Ndago, wilayani Iramba
 Mma mkazi wa Msigili akiwa na furaha baada ya kuuona Dk Magufuli
 Wananchi wakikimbia kwenda kumuona Dk Magufuli alipowasili katika Mji wa Msigili wilayani Iramba
 Nifuraha iliyoje kwa vijana hawa baada ya kumuona Dk Magufuli katika Mji wa Msigili leo
 Kijana akimshangiliAa Dk Magufuli huku akiwa amebandika picha yake mgongoni
 Baadhi ya wafanyabiashara wakishangilia baada ya kufurahishwa na hotuba ya Dk Magufuli  katika Mji wa Msigili ambapo alisema akishinda urais ataondoa kodi  kwa wafanyabiashara ndogo ndogo
 Dk Magufuli akimnadi Mgombea Ubunge Jimbo la Iramba, Mwigulu Nchemba mjini Kiomboi, Iramba
 Dk Magufuli akionesha kadi ya mmoja wa viongozi wa Chadema ambaye amaehamia CCM NA ZAIDI YA WANACHAMA 200



 Baadhi ya wananchi wakisikiliza kwa makini wakati Dk Magufuli akijinadi katika mkutano wa kampeni katika Mji wa Nduguti wilayani Mkarama
 Wanachi wakishangilia baada ya kukubali kumpigia kura Dk Magufuli katika Mji wa Nduguti wilayani Mkarama, Singida
 Wazee wakikimbilia kumuona Dk Magufuli katika Kata ya Nkungi, Jimbo la Mkarama, Singida
 Wananachi wakimshangilia Dk Magufuli alipozungumza nao katika mkutano wa kampeni Jimbo la Singida Kaskazini
 Wananchi wakimshangilia Dk Magufuli wakati wa mkutano wa kampeni  katika Mji wa Ilongelo, Jimbo la Singida Kaskazini

Mgombea urais wa Tanzania kupitia CCM, Dk John Magufuli akimnadi kwa wananchi mgombea ubunge Jimbo la Singida Kaskazini,Lazaro   Nyalandu  katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika Kata ya Ilongelo,
 Dk Magufuli akiteta jambo na Mratibu wa kampeni za CCM, Abdallah Majula muda mfupi kabla ya kuanza kuhutubia kwenye mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Peoples mjini Singida
  Dk Magufuli akiteta jambo na Mjumbe wa Kamati ya Kampeni za CCM, Mwigulu Nchemba muda mfupi kabla ya kuanza kuhutubia kwenye mkutano wa kampeni katika Uwanja wa Peoples mjini Singida
 Wananchi wakishangilia katika mkutano wa kampeni za CCM MJINI Singida
 Nchemba akimnadi Dk Magufuli katika mkutano huo














Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI