KINANA APIGA KAMPENI KUINADI CCM MKOA WA KAGERA


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwahutubia wakazi wa jimbo la Muleba ya Kusini kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa CCM imemleta Dk. John Pombe Magufuli kwa sababu ni kiongozi imara asiyetetereka na amekuwa mstari wa mbele kuona Taifa hili likiendelea..
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozana na mgombea ubunge wa jimbo la Muleba ya Kaskazini Ndugu Charles Mwijage pamoja na mgombea ubunge wa jimbo la Muleba ya Kusini Profesa Anna Tibaijuka.
 Helkopta iliyombeba Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana ikipasua anga la mji wa Bukoba.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Bukoba kwenye mkutano wa kampeni za kuwanadi wagombea wa CCM kuanzia ngazi ya Urais, Ubunge na Udiwani.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI

KOCHA WA AL.AHLY ASEMA YANGA NI TIMU BORA NA NGUMU