MAMA SAMIA AANZA KUSHAMBULIA KWA KAMPENI BAADHI YA MAJIMBO MKOANI MWANZA LEO


Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan, akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Kisesa, jimbo la Magu mkoani Mwanza 
 Wananchi wakiwa wamezuia msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu, leo katika eneo la Sumve mkoani Mwanza.
 Mwananchi akiwa na bango la kumfagilia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo eneo la Kisasa, jimbo la Magu mkoani Mwanza
 MAAJABU: Mbwa aliyekuwa katikakati ya wananchi akipiga push Up 'kumuiga' Mgombea  Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli, katika mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea Mwenza, Mama samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Kisesa, jimbo la Magu mkoani Mwanza
 Msanii wa Bongo Movie anayeunda kundi la Mama Ongea na Mwanao la kupiga kampeni za CCM, Wema Sepetu, akimuombea kura Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Kisesa jimbo la Magu mkoani Mwanza
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akijadiliana jambo na Mgombea Ubunge jimbo la Magu, Kiswaga Destery katika mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Kisesa mkoani Mwanza , leo.
 Wagombea Udiwani jimbo la Magu, wakiwasalimia wananchi walipotambulishwa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Katika mkutano wa kampeni uliofayika leo katika eneo la Kisesa mkoani Mwanza.
 Wananchi wakiwa wamezuia msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu, leo katika eneo la Sumve mkoani Mwanza.
 Kijana akiwa na bango la kumfagilia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Kisesa jimbo la Magu mkoani Mwanza.
 Mgombea Ubuge jimbo la Misungwi, Mansoor Hirani, akiomba kura wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Mwanza


 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Anthony Diallo akimkaribisha Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan kuhutubia mkutano wa kampeni uliofayika leo katika eneo la Kisesa jimbo la Magu mkoani Mwanza
 Mgombea Mwenza kwa tiketi ya CCM,Mama Samia Suluhu akijadili jambo na Mkuu wa wilaya ya Nyamagana, Baraka Konisaga katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katka eneo la Kisesa jimbo la Magu mkoani Mwanza 
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akimnadi Mgombea Ubuge jimbo la Misungwi, Mansoor Hirani katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Mwanza. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*